Agano la Kale

Agano Jipya

Hag. 1:6 Swahili Union Version (SUV)

Mmepanda mbegu nyingi mkavuna kidogo; mnakula lakini hamshibi; mnakunywa lakini hamkujazwa na vinywaji; mnajivika nguo lakini hapana aonaye moto; na yeye apataye mshahara apata mshahara ili kuutia katika mfuko uliotoboka-toboka.

Kusoma sura kamili Hag. 1

Mtazamo Hag. 1:6 katika mazingira