Taarifa mpya Mladi wa Liganga

Kampuni ya Sichuan Hongda Group kwa niaba ya Tanzania China International Mineral Resources Limited, leo November 26 2018 wametoa taarifa kwa umma kuhusiana mradi wa Liganga-Mchuchuma uliyokuwa umeripotiwa kuwa utatengeneza ajira rasmi 5000 za moja kwa moja na ajira 30,000 zisizo rasmi.

Sichuan ambao walishinda tenda ya kuufanya mradi wa Liganga uliyokuwa uwaniwa na kampuni za kimataifa 48 tofauti tofauti, Jana walitoa taarifa hii kwa umma kuhusiana na mradi huo.

Design a site like this with WordPress.com
Get started
search previous next tag category expand menu location phone mail time cart zoom edit close